Skip to content
Mwanzo 49:19-21

Mwanzo 49:19-21

19
“Gadi atashambuliwa ghafula na kundi la washambuliaji, lakini yeye atawageukia na kuwashinda kabisa.
20
“Chakula cha Asheri kitakuwa kinono, naye atatoa chakula kitamu kimfaacho mfalme.
21
“Naftali ni kulungu jike aliyeachiwa huru azaaye watoto wazuri.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options