Rukia maudhui
Mwanzo 44:33-34

Mwanzo 44:33-34

33
“Sasa basi, tafadhali mruhusu mtumishi abaki hapa kama mtumwa wa bwana wangu badala ya kijana, naye kijana umruhusu arudi na ndugu zake.
34
Ninawezaje kurudi kwa baba yangu kama kijana hatakuwa pamoja nami? La hasha! Usiniache nikaone huzuni ile itakayompata baba yangu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options