Skip to content
Mwanzo 42:1-2

Mwanzo 42:1-2

1
Wakati Yakobo alipofahamu kuwa kuna nafaka huko Misri, akawaambia wanawe, “Mbona mnakaa tu hapa mnatazamana?”
2
Akaendelea kuwaambia, “Nimesikia kuwa huko Misri kuna nafaka. Telemkeni huko mkanunue chakula kwa ajili yetu, ili tuweze kuishi wala tusife.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options