Skip to content
Mwanzo 41:4-5

Mwanzo 41:4-5

4
Wale ngʼombe wabaya na waliokonda wakawala wale saba wazuri na wanono. Kisha Farao akaamka.
5
Farao akaingia usingizini tena akaota ndoto ya pili: Akaona masuke saba ya nafaka, yenye afya na mazuri, yanakua katika bua moja.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options