Skip to content
Mwanzo 41:3-4

Mwanzo 41:3-4

3
Baada yao ngʼombe wengine saba, wabaya na waliokonda, wakatokea mtoni Naili wakasimama kando ya wale wanono ukingoni mwa mto.
4
Wale ngʼombe wabaya na waliokonda wakawala wale saba wazuri na wanono. Kisha Farao akaamka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options