Rukia maudhui
Mwanzo 4:6-7

Mwanzo 4:6-7

6
Kisha Bwana akamwambia Kaini, “Kwa nini umekasirika? Kwa nini uso wako una huzuni?
7
Ukifanya lililo sawa, je, hutakubalika? Lakini usipofanya lililo sawa, dhambi inakuvizia mlangoni mwako, inakutamani wewe, lakini inakupasa uishinde.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options