Skip to content
Mwanzo 37:3-4

Mwanzo 37:3-4

3
Basi, Israeli akampenda Yosefu kuliko yeyote miongoni mwa kaka zake, kwani ni mwanawe wa uzeeni, akamshonea joho lililorembwa vizuri sana.
4
Ndugu zake walipoona kwamba baba yao anampenda Yosefu kuliko yeyote mwingine miongoni mwao, walimchukia na hawakusema naye neno lolote jema.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options