Skip to content
Mwanzo 37:23-24

Mwanzo 37:23-24

23
Kwa hiyo Yosefu alipowafikia ndugu zake, walimvua lile joho lake, lile joho lililorembwa vizuri alilokuwa amevaa.
24
Kisha wakamchukua wakamtupa katika shimo. Wakati huo shimo lilikuwa tupu, halikuwa na maji ndani yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options