Skip to content
Mwanzo 34:1-2

Mwanzo 34:1-2

1
Basi Dina, binti wa Yakobo aliyezaliwa na Lea, akatoka nje kuwatembelea wanawake wa nchi ile.
2
Ikawa Shekemu mwana wa Hamori Mhivi, mtawala wa eneo lile alipomwona, akamchukua na kumnajisi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options