Ir al contenido
Mwanzo 33:17-18

Mwanzo 33:17-18

17
Pamoja na hayo, Yakobo akaenda Sukothi, mahali alipojijengea makazi kwa ajili yake na mabanda kwa ajili ya mifugo yake. Hii ndiyo sababu sehemu ile inaitwa Sukothi.
18
Baada ya Yakobo kutoka Padan-Aramu, alifika salama katika mji wa Shekemu huko Kanaani na kuweka kambi yake karibu na mji.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options