Skip to content
Mwanzo 32:1-2

Mwanzo 32:1-2

1
Yakobo pia akaondoka akaenda zake, nao malaika wa Mungu wakakutana naye.
2
Yakobo alipowaona, akasema, “Hii ni kambi ya Mungu!” Kwa hiyo akapaita mahali pale Mahanaimu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options