Skip to content
Mwanzo 31:47-49

Mwanzo 31:47-49

47
Labani akaliita Yegar-Sahadutha na Yakobo akaliita Galeedi.
48
Labani akasema, “Lundo hili ni shahidi kati yako na mimi leo.” Ndiyo maana likaitwa Galeedi.
49
Pia liliitwa Mispa, kwa sababu alisema, “Bwana na aweke ulinzi kati yako na mimi wakati kila mmoja akiwa mbali na mwingine.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options