Skip to content
Mwanzo 30:25-26

Mwanzo 30:25-26

25
Baada ya Raheli kumzaa Yosefu, Yakobo akamwambia Labani, “Nipe ruhusa nirudi katika nchi yangu.
26
Nipe wake zangu na watoto, ambao nimetumika kuwapata, nami niende zangu. Unajua ni kazi kiasi gani ambayo nimekufanyia.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options