Skip to content
Mwanzo 30:10-11

Mwanzo 30:10-11

10
Mtumishi wa Lea yaani Zilpa, akamzalia Yakobo mwana.
11
Ndipo Lea akasema, “Hii ni bahati nzuri aje!” Kwa hiyo akamwita Gadi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options