Skip to content
Mwanzo 30:10-11

Mwanzo 30:10-11

10
Mtumishi wa Lea yaani Zilpa, akamzalia Yakobo mwana.
11
Ndipo Lea akasema, “Hii ni bahati nzuri aje!” Kwa hiyo akamwita Gadi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options