Mwanzo 30:9-13
9
Lea alipoona kuwa amekoma kuzaa watoto, alimchukua mtumishi wake wa kike Zilpa, naye akampa Yakobo awe mke wake.
10
Mtumishi wa Lea yaani Zilpa, akamzalia Yakobo mwana.
11
Ndipo Lea akasema, “Hii ni bahati nzuri aje!” Kwa hiyo akamwita Gadi.
12
Mtumishi wa kike wa Lea akamzalia Yakobo mwana wa pili.
13
Ndipo Lea aliposema, “Jinsi gani nilivyo na furaha! Wanawake wataniita furaha.” Kwa hiyo akamwita Asheri.
Settings