Skip to content
Mwanzo 28:8-9

Mwanzo 28:8-9

8
Esau akatambua jinsi ambavyo baba yake Isaki anavyowachukia binti za Wakanaani.
9
Ndipo Esau akaenda kwa Ishmaeli, akamwoa Mahalati, ndugu wa Nebayothi na binti wa Ishmaeli mwana wa Abrahamu, kuongezea wale wake wengine aliokuwa nao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options