Skip to content
Mwanzo 28:1-2

Mwanzo 28:1-2

1
Basi Isaki akamwita Yakobo, akambariki na akamwamuru, akisema, “Usioe mwanamke wa Kikanaani.
2
Nenda mara moja mpaka Padan-Aramu, kwenye nyumba ya Bethueli baba wa mama yako. Uchukue mke kati ya binti za Labani ambaye ni ndugu wa mama yako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options