Skip to content
Mwanzo 27:6-10

Mwanzo 27:6-10

6
Rebeka akamwambia Yakobo mwanawe, “Tazama, nimemsikia baba yako akimwambia ndugu yako Esau,
7
‘Niletee mawindo, kisha ukaniandalie chakula kitamu nile, ili niweze kukubariki mbele za Bwana kabla sijafa.’
8
Sasa, mwanangu, nisikilize kwa makini na ufanye yale ninayokuambia:
9
Nenda sasa katika kundi ukaniletee wana-mbuzi wawili wazuri, ili niandalie chakula kitamu kwa ajili ya baba yako, kama vile anavyopenda.
10
Kisha umpelekee baba yako ale, ili apate kukubariki kabla hajafa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options