Skip to content
Mwanzo 27:1-5

Isaka apanga kumbariki Esau

Mwanzo 27:1-5
1
Isaki alipokuwa mzee na macho yake yalipokuwa yamekosa nguvu asiweze kuona tena, akamwita Esau mwanawe mkubwa, akamwambia, “Mwanangu.” Akajibu, “Mimi hapa.”
2
Isaki akasema, “Mimi sasa ni mzee na sijui siku ya kifo changu.
3
Sasa basi, chukua silaha zako, podo na upinde, uende nyikani, ukawinde nyama pori kwa ajili yangu.
4
Uniandalie aina ya chakula kitamu nikipendacho uniletee nile, ili niweze kukubariki kabla sijafa.”
5
Basi Rebeka alikuwa akisikiliza Isaki alipokuwa akizungumza na mwanawe Esau. Esau alipoondoka kwenda nyikani kuwinda nyama pori na kuleta,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options