Skip to content
Mwanzo 25:7-9

Mwanzo 25:7-9

7
Kwa jumla, Abrahamu aliishi miaka 175.
8
Ndipo Abrahamu akapumua pumzi ya mwisho na akafa akiwa mwenye umri mzuri, mzee aliyeshiba siku, naye akakusanywa pamoja na watu wake.
9
Watoto wake Isaki na Ishmaeli wakamzika katika pango la Makpela karibu na Mamre, katika shamba lililokuwa la Efroni mwana wa Sohari Mhiti,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options