Skip to content
Mwanzo 25:1-6

Mwanzo 25:1-6

1
Abrahamu alioa mke mwingine, ambaye jina lake aliitwa Ketura.
2
Huyu alimzalia Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua.
3
Yokshani alikuwa baba wa Sheba na Dedani, wazao wa Dedani walikuwa Waashuri, Waletushi na Waleumi.
4
Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Hawa wote walikuwa uzao wa Ketura.
5
Abrahamu akamwachia Isaki kila kitu alichokuwa nacho.
6
Lakini Abrahamu alipokuwa bado hai, akawapa watoto wa masuria wake zawadi, kisha akawaondoa waende kuishi pande za mashariki mbali na mwanawe Isaki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options