Skip to content
Mwanzo 21:1-2

Mwanzo 21:1-2

1
Wakati huu Bwana akamrehemu Sara kama alivyokuwa amesema, naye Bwana akamtendea Sara kile alichokuwa ameahidi.
2
Sara akapata mimba, akamzalia Abrahamu mwana katika uzee wake, majira yale ya Mungu aliomwahidi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options