Rukia maudhui
Mwanzo 2:1-3

Siku ya saba: Mungu apumzika na kubariki

Mwanzo 2:1-3
1
Kwa hiyo mbingu na dunia zikakamilika, pamoja na vyote vilivyomo.
2
Katika siku ya saba Mungu alikuwa amekamilisha kazi aliyokuwa akiifanya, hivyo siku ya saba akapumzika kutoka kazi zake zote.
3
Mungu akaibariki siku ya saba akaifanya takatifu, kwa sababu katika siku hiyo alipumzika kutoka kazi zote za kuumba alizokuwa amefanya.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options