Rukia maudhui
Mwanzo 18:11-12

Mwanzo 18:11-12

11
Abrahamu na Sara walikuwa wazee tena waliosogea miaka, naye Sara alikuwa amekoma katika desturi ya wanawake.
12
Hivyo Sara akacheka kimoyomoyo alipokuwa akiwaza, “Baada ya mimi kuwa mkongwe hivi na bwana wangu amezeeka, je, nitaweza kufurahia jambo hili?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options