Skip to content
Mwanzo 18:1-2

Mwanzo 18:1-2

1
Bwana akamtokea Abrahamu karibu na mialoni ya Mamre wakati alipokuwa ameketi kwenye ingilio la hema lake wakati wa adhuhuri.
2
Abrahamu akainua macho akaona watu watatu wamesimama karibu naye. Alipowaona, aliharakisha kutoka kwenye ingilio la hema lake kuwalaki na kuwasujudia hadi nchi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options