Rukia maudhui
Mwanzo 17:1-2

Mwanzo 17:1-2

1
Abramu alipokuwa na miaka tisini na tisa, Bwana akamtokea akamwambia, “Mimi ndimi Mungu Mwenyezi; enenda mbele zangu na uishi kwa unyofu.
2
Nami nitafanya Agano langu kati yangu na wewe, nami nitakuzidisha sana sana.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options