Skip to content
Mwanzo 15:9-11

Mwanzo 15:9-11

9
Ndipo Bwana akamwambia, “Niletee mtamba wa ngʼombe, mbuzi na kondoo dume, kila mmoja wa miaka mitatu, pamoja na hua na kinda la njiwa.”
10
Abramu akamletea hivi vyote, akampasua kila mnyama vipande viwili, akavipanga kila kimoja kuelekea mwenzake, lakini hata hivyo ndege, hakuwapasua vipande viwili.
11
Kisha ndege walao nyama wakatua juu ya mizoga, lakini Abramu akawafukuza.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options