Skip to content
Mwanzo 14:5-7

Mwanzo 14:5-7

5
Mnamo mwaka wa kumi na nne, Mfalme Kedorlaoma na wafalme waliojiunga naye walikwenda kupigana na kuwashinda Warefai katika Ashtaroth-Kanaimu, Wazuzi katika Hamu, Waemi katika Shawe-Kiriathaimu,
6
na Wahori katika nchi ya kilima cha Seiri, hadi El-Parani karibu na jangwa.
7
Kisha wakarudi wakaenda En-Misfati (yaani Kadeshi), wakashinda nchi yote ya Waamaleki, pamoja na Waamori waliokuwa wakiishi Hasason-Tamari.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options