Skip to content
Mwanzo 13:6-7

Mwanzo 13:6-7

6
Lakini nchi haikuwatosha kukaa pamoja kwa ajili ya wingi wa mali zao.
7
Ukazuka ugomvi kati ya wachunga mifugo wa Abramu na wale wa Loti. Wakati huo, Wakanaani na Waperizi ndio waliokuwa wenyeji wa nchi hiyo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options