Skip to content
Mwanzo 13:2-4

Mwanzo 13:2-4

2
Wakati huo Abramu alikuwa tajiri sana wa mifugo, fedha na dhahabu.
3
Kutoka Negebu, akapita mahali hadi mahali, hadi akafika Betheli, mahali hapo ambapo mwanzoni alipiga hema lake kati ya Betheli na Ai
4
hapo ambapo alikuwa amejenga madhabahu ya kwanza. Huko Abramu akaliitia jina la Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options