Mwanzo 13:2-4
2
Wakati huo Abramu alikuwa tajiri sana wa mifugo, fedha na dhahabu.
3
Kutoka Negebu, akapita mahali hadi mahali, hadi akafika Betheli, mahali hapo ambapo mwanzoni alipiga hema lake kati ya Betheli na Ai
4
hapo ambapo alikuwa amejenga madhabahu ya kwanza. Huko Abramu akaliitia jina la Bwana.