Skip to content
Mwanzo 11:7-9

Mwanzo 11:7-9

7
Njooni, tushuke tuvuruge lugha yao ili wasielewane wao kwa wao.”
8
Hivyo Bwana akawatawanya kutoka mahali pale kwenda katika dunia yote, nao wakaacha kuujenga huo mji.
9
Ndiyo maana pakaitwa Babeli, kwa sababu hapo ndipo Bwana alipoivuruga lugha ya dunia nzima. Kutoka hapo Bwana akawatawanya katika uso wa dunia yote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options