Skip to content
Mwanzo 11:16-18

Mwanzo 11:16-18

16
Eberi alipokuwa na miaka thelathini na minne, akamzaa Pelegi.
17
Baada ya Eberi kumzaa Pelegi, aliishi miaka 430, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.
18
Pelegi alipokuwa na miaka thelathini, akamzaa Reu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options