Skip to content
Mwanzo 11:1-4

Mwanzo 11:1-4

1
Wakati huo dunia yote ilikuwa na lugha moja na msemo mmoja.
2
Watu walipoelekea upande wa mashariki, wakafika kwenye tambarare katika nchi ya Shinari nao wakaishi huko.
3
Wakasemezana wao kwa wao, “Njooni, tufyatue matofali na tuyachome vizuri kwa moto.” Walitumia matofali badala ya mawe, na lami kwa ajili ya kushikamanishia hayo matofali.
4
Ndipo wakasema, “Njooni, tujijengee mji wenye mnara ambao utafika hadi mbinguni, ili tujipatie jina tusije tukatawanyika usoni pa dunia yote.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options