Mwanzo 10:25-29
25
Eberi akapata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
26
Yoktani alikuwa baba wa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
27
Hadoramu, Uzali, Dikla,
28
Obali, Abimaeli, Sheba,
29
Ofiri, Havila na Yobabu. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
Settings