Skip to content
Mwanzo 10:22-24

Mwanzo 10:22-24

22
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.
23
Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
24
Arfaksadi alikuwa baba wa Shela, naye Shela akamzaa Eberi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options