Skip to content
Wagalatia 5:5-6

Wagalatia 5:5-6

5
Kwa maana, kwa njia ya Roho kwa imani, tunangojea kwa shauku tumaini la haki.
6
Kwa maana ndani ya Kristo Yesu, kutahiriwa au kutokutahiriwa hakuleti tofauti, bali lililo muhimu ni imani itendayo kazi kwa njia ya upendo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options