Skip to content
Wagalatia 5:5-6

Wagalatia 5:5-6

5
Kwa maana, kwa njia ya Roho kwa imani, tunangojea kwa shauku tumaini la haki.
6
Kwa maana ndani ya Kristo Yesu, kutahiriwa au kutokutahiriwa hakuleti tofauti, bali lililo muhimu ni imani itendayo kazi kwa njia ya upendo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options