Skip to content
Wagalatia 5:22-26

Wagalatia 5:22-26

22
Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu,
23
upole na kiasi. Katika mambo kama haya hakuna sheria.
24
Wote walio wa Kristo Yesu wameusulubisha mwili na shauku zake pamoja na tamaa zake.
25
Kwa kuwa tunaishi kwa Roho, basi, tuenende kwa Roho.
26
Tusijisifu bure, tukichokozana na kuoneana wivu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options