Skip to content
Ezra 8:31-32

Ezra 8:31-32

31
Tulianza safari kutoka Mto Ahava kwenda Yerusalemu kwenye siku ya kumi na mbili ya mwezi wa kwanza. Mkono wa Mungu wetu ulikuwa juu yetu, naye njiani alitulinda dhidi ya adui na wanyangʼanyi.
32
Kwa hiyo tuliwasili Yerusalemu ambapo tulipumzika kwa siku tatu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options