Ezra 2:1-13
1
Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
2
wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana): Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:
3
wazao wa Paroshi 2,172
4
wazao wa Shefatia 372
5
wazao wa Ara 775
6
wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,812
7
wazao wa Elamu 1,254
8
wazao wa Zatu 945
9
wazao wa Zakai 760
10
wazao wa Bani 642
11
wazao wa Bebai 623
12
wazao wa Azgadi 1,222
13
wazao wa Adonikamu 666
Settings