Skip to content
Ezra 2:1-13

Ezra 2:1-13

1
Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
2
wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana): Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:
3
wazao wa Paroshi 2,172
4
wazao wa Shefatia 372
5
wazao wa Ara 775
6
wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,812
7
wazao wa Elamu 1,254
8
wazao wa Zatu 945
9
wazao wa Zakai 760
10
wazao wa Bani 642
11
wazao wa Bebai 623
12
wazao wa Azgadi 1,222
13
wazao wa Adonikamu 666
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options