Rukia maudhui
Ezekieli 8:14-15

Wanawake wakimlilia Tamuzi

Ezekieli 8:14-15
14
Ndipo akanileta mpaka ingilio la lango la kaskazini la nyumba ya Bwana, nami nikaona wanawake wameketi hapo, wakimwombolezea Tamuzi.
15
Akaniambia, “Unaliona hili, mwanadamu? Utaona vitu ambavyo ni machukizo kuliko hili.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options