Rukia maudhui
Ezekieli 31:1-2

Tarehe ya unabii juu ya Misri

Ezekieli 31:1-2
1
Katika mwaka wa kumi na moja, mwezi wa tatu, siku ya kwanza, neno la Bwana likanijia, kusema:
2
“Mwanadamu, mwambie Farao mfalme wa Misri na makundi yake ya wajeuri: “ ‘Je, ni nani awezaye kulinganishwa na wewe katika fahari.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options