Rukia maudhui
Ezekieli 3:2-3

Ezekieli 3:2-3

2
Ndipo nikafungua kinywa changu, naye akanilisha ule ukurasa wa kitabu.
3
Ndipo akaniambia, “Mwanadamu, kula ukurasa huu wa kitabu ninaokupa ujaze tumbo lako.” Kwa hiyo nikaula, ulikuwa mtamu kama asali kinywani mwangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options