Skip to content
Ezekieli 21:18-19

Ezekieli 21:18-19

18
Neno la Bwana likanijia kusema:
19
“Mwanadamu, weka alama njia mbili ambazo upanga wa mfalme wa Babeli utapitia, njia hizo zikianzia katika nchi hiyo hiyo. Weka kibao pale ambapo njia zinagawanyika kuelekea mjini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options