Rukia maudhui
Ezekieli 11:22-25

Utukufu wa BWANA waondoka

Ezekieli 11:22-25
22
Ndipo wale makerubi, wenye magurudumu pembeni mwao, wakakunjua mabawa yao, nao utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa juu yao.
23
Basi utukufu wa Bwana ukapaa juu kutoka mji, ukatua juu ya mlima ulio upande wa mashariki ya mji.
24
Roho akaniinua na kunileta mpaka kwa watu wa uhamisho huko Ukaldayo nikiwa katika yale maono niliyopewa na Roho wa Mungu. Ndipo maono niliyokuwa nimeyaona yakanitoka,
25
nami nikawaeleza wale watu wa uhamisho kila kitu Bwana alichokuwa amenionyesha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options