Skip to content
Kutoka 6:26-27

Kutoka 6:26-27

26
Hawa walikuwa Aroni na Mose wale wale ambao Bwana aliwaambia, “Watoeni Waisraeli katika nchi ya Misri kwa vikosi vyao.”
27
Ndio hao hao waliozungumza na Farao mfalme wa Misri kuhusu kuwatoa Waisraeli Misri. Ilikuwa ni huyo Mose na huyo Aroni.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options