Skip to content
Kutoka 6:28-30

Kutoka 6:28-30

28
Bwana aliponena na Mose huko Misri,
29
akamwambia, “Mimi ndimi Bwana. Mwambie Farao mfalme wa Misri kila kitu nikuambiacho.”
30
Lakini Mose akamwambia Bwana, “Kwa kuwa mimi huzungumza kwa kigugumizi, Farao atanisikiliza mimi?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options