Rukia maudhui
Kutoka 5:20-23

Kukata Tamaa na Malalamiko ya Musa

Kutoka 5:20-23
20
Walipoondoka kwa Farao, wakawakuta Mose na Aroni wakingojea kukutana nao,
21
wakawaambia Mose na Aroni, “Bwana na awaangalie awahukumu ninyi! Mmetufanya tunuke kwa Farao na maafisa wake, nanyi mmeweka upanga mikononi mwao ili kutuua sisi.”
22
Mose akarudi kwa Bwana na kumwambia, “Ee Bwana, mbona umewaletea watu hawa taabu? Kwa nini basi ukanituma mimi?
23
Tangu nilipomwendea Farao kuzungumza naye kwa jina lako, amewaletea taabu watu hawa, nawe kamwe hujawakomboa watu wako.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options