Kutoka 40:6-8
6
“Weka madhabahu ya sadaka za kuteketezwa mbele ya lango la Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania;
7
weka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, na uweke maji ndani yake.
8
Fanyiza ua kuzunguka maskani na uweke pazia penye ingilio la ua.