Skip to content
Kutoka 40:36-38

Kutoka 40:36-38

36
Katika safari yote ya Waisraeli, kila wakati wingu lilipoinuka kutoka juu ya Maskani ya Mungu, wangeondoka;
37
lakini kama wingu halikuinuka, hawakuondoka, mpaka siku lilipoinuka.
38
Kwa hiyo wingu la Bwana lilikuwa juu ya maskani mchana, na moto ulikuwa katika hilo wingu wakati wa usiku, machoni pa nyumba yote ya Israeli siku zote za safari zao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options