1
Bwana akamwita Mose na kusema naye kutoka kwenye Hema la Kukutania, akamwambia,
2
“Sema na Waisraeli na uwaambie, ‘Yeyote miongoni mwenu aletapo sadaka ya mnyama kwa Bwana, alete mnyama kama sadaka yake kutoka kundi lake la ngʼombe au la kondoo na mbuzi.