Skip to content
Walawi 1:1-2

Walawi 1:1-2

1
Bwana akamwita Mose na kusema naye kutoka kwenye Hema la Kukutania, akamwambia,
2
“Sema na Waisraeli na uwaambie, ‘Yeyote miongoni mwenu aletapo sadaka ya mnyama kwa Bwana, alete mnyama kama sadaka yake kutoka kundi lake la ngʼombe au la kondoo na mbuzi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options